HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, December 2, 2011

Fally Ipupa ndani ya Jiji la Dar,Tayari kwa Shoo ya Usiku wa Mwafrika

 Mwanamuziki wa Kimataifa kutoka nchini Congo,Fally Ipupa akiwa ameongozana na wenyeji wake wakati alipowasili jijini mchana wa leo tayari kwa shoo moja ya Usiku wa Mwafrika mahsusi kwa Wadau wa Club E itakayofanyika usiku wa leo kwenye ukumbi wa Mlimani City jijini Dar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad