Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa Kampuni ya simu za Mikononi ya VODACOM TANZANIA,Bw. Rene Meza kabla ya mazungumzo yao, ofisini kwake jijini Dar es salaam leo.Katikati ni Ofisa Mkuu wa VODACOM TANZANIA, Mwamvita Makamba.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji Mpya wa Kampuni ya simu za Mikononi ya VODACOM TANZANIA,Bw. Rene Meza, ofisini kwake jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment