Maana alichokifanya kwenye barabara hii sio haki kabisa,yaani
barabara ina mashimo utafikiri mahandaki.haki ya nani tena vile huyu
mkandarasi anatakiwa kuwajibishwa maana hapa katutia changa na macho
laivu laivu.kwa wenye magari madogo ndio utawaonea huruma wakipita
kwenye barabara hii.hebu angalia hiyo benzi ya harusi inavyopita,unaweza
hata kulia kwa kuionea huruma hiyo gari kwa jinsi inavyipita kwa shida katika barabara hiyo.
Sunday, November 6, 2011
Home
HABARI ZA NYUMBANI
MKANDARASI WA BARABARA HII YA TANDALE KAFA????? NA KAMA YUPO KWA NINI HAMUMDAI CHENU??
MKANDARASI WA BARABARA HII YA TANDALE KAFA????? NA KAMA YUPO KWA NINI HAMUMDAI CHENU??
Tags
# HABARI ZA NYUMBANI
HABARI ZA NYUMBANI
Labels:
HABARI ZA NYUMBANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)







No comments:
Post a Comment