HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, October 13, 2011

Mr Flavour atua nchini leo


Mkurugenzi wa benchmark production, Madame Ritha Poulsen akiwa katika picha ya pamoja na Mwanamuziki toka nchini Nigeria,afahamikae kama Mr Flavour (kulia) na Mwanamuziki Daniel Kagonzo pindi wanamuziki hao walipowasili nchini mchana wa leo.Wakali hao watapamba shoo za fainali za Bongo Star Search zitakazofanyika kesho kwenye ukumbi wa Diamond Jubilee,jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad