Mabondia Mbwana Matumla (kushoto) na Mussa Sunga wakipigana wakati wa
mazoezi ya kambi ya ILala jijini Dar es salaam jana.kulia ni kocha Mohamedi
Chipota, Matumla anajiandaa na mpambano wake wa ubingwa na Fransic
Miyeyusho litakalofanyika mwishoni mwa mwezi huu.
Saturday, October 8, 2011

Home
Unlabelled
MBWANA MATUMLA AJIFUA KUMKABILI FRANSIC MIYEYUSHO
MBWANA MATUMLA AJIFUA KUMKABILI FRANSIC MIYEYUSHO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment