Asalamu alaykum.
Wadua wa Oostende belgium beach tunatoa salamu za rambirambi kwa ajali ya meli iliyotokea visiwani zanzibar ya mv spices islanders.
tunawapa pole kila aliyefikwa na janga hili
Tunawaombea majeruhi wapone haraka na wale wote waliopoteza maisha mungu azilaze roho zao mahali pema peponi amini
Na wafiwa mungu awape subra katika kipindi hiki kigumu cha msiba
Amin.
OOSTENDE ,
BELGIUM
No comments:
Post a Comment