HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, September 14, 2011

Mmhh....!!! Kunani Hapa??

Maana nafikiri hii ni mara ya kwanza kwa wawili hawa (mgambo wa jiji na mmachinga) kukaa sehemu moja tena bila kuleteana zengwe hata kidogo.sasa sijui walikuwa wanamlinda ili wengine wasimzingue au walikuwa wanamlia taimingi ili wamfungie biashara yake???

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad