Hivi ndivyo inavyoonekana Barabara ya Jet kuelekea Lumoo mpaka Yombo wilaya ya Temeke,jijini Daslaam. inavyoonekana na kupendezeshwa na Mashimozz bin Mahandakizz mkubwa makubwa yaliyotawala katika barabara hiyo.hivyo kwa kuwa mjumbe hauwawigi..... basi ujumbe ndio huu toka kwa wakazi na watumiaji wa njia hii.
Thursday, September 22, 2011

Home
Unlabelled
Barabara ya Jet kuelekea Lumoo mpaka Yombo ni Mashimozz mpaka Kero
Barabara ya Jet kuelekea Lumoo mpaka Yombo ni Mashimozz mpaka Kero
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment