HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 20, 2011

washiriki miss tanzania watembelea kiwanda cha tbl,arusha





Washiriki wa shindano la Miss Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja mara walipofanya ziara ndani ya kiwanda cha TBL,hapo jana jijini Arusha.
Washiriki wa shindano la Miss Tanzania 2011 wakielezwa namna bia inavyotengenezwa na , Mtaalam wa Upishi wa Bia, TBL Arusha.Bwana Jacob Mgowe.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad