HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 10, 2011

Top Model Vodacom Miss Tanzania huyu hapa

Vodacom Miss Tanzania 2011, Top Model Mwajabu Juma akipozi mbele ya wenzake kwa ajili ya picha mara baada ya kutwa kuwa ndiye mshindi wa taji hilo na mrembo wa kwanza kuingia katika Nusu Fainali za Vodacom Miss Tanzania mwaka huu. Shindano hilo lilifanyika juzi usiku na matokeo kutangazwa jana mbele ya waandishi wa habari
Vodacom Miss Tanzania 2011, Top Model Mwajabu Juma (katikati) akipongezwa na washiriki wenzake wa Miss Tanzania baada ya kutajwa kuwa ndiye mshindi wa taji hilo na mrembo wa kwanza kuingia katika Nusu Fainali za Vodacom Miss Tanzania mwaka huu. Shindano hilo lilifanyika juzi usiku na matokeo kutangazwa jana mbele ya waandishi wa habari.
Warembo walioingia tano bora ya shindano la Vodacom Miss Tanzania Top Model, Kutoka kushoto ni Jeniffer Kakolaki, Alexia William, Zerulia Manonko, Cynthia Kimath na Mwajabu Juma wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad