Mwanamuziki maarufu wa nchini Uganda, Jose Chameleon akisilimu dini kutoka ukristo wa madhehebu ya Kikatoliki na kuwa Muislamu katika hafla iliyofanyika leo mchana wakati wa swala ya Ijumaa katika msikiti wa Kibuli jijini Kampala.Mwanamuziki huyo sasa amebadili jina la Jose na sasa anaitwa Gaddafi Chameleon kama alivyochagua yeye mwenyewe,habari hii ni kwa mujibu wa gazeti la Red Pepper.
Chameleon akiwa msikitini na waumini wengine.
No comments:
Post a Comment