Sehemu ya Mashekhe na umati wa Waislamu uliofurika katika ukumbi wa Diamond Jubilee hall jijini Dar es salaam kushuhudia mashindano ya kuhifadhi Kuraan Tukufu yaliyoshirikisha wanafunzi wa madrasa toka Bara na visiwani
Sehemu ya washindani wavulana
Washindani wasichana
Mke wa rais Salma Kikwete (wa pili kulia) akimsaidia kuwasha Pikipiki ya kubeba mizigo Mshindi wa kwanza wa kuhifadhi Kuraan juzu 30 Khalid Omar Mbarouk (15) katikati wa Madrasat An-Nujum ya Temeke yaliyofanyika Dar es Salaam jana. Kushoto ni Jaji wa Hifadhi, Hassan Ahamed Katunguya na kulia ni Mwenyekiti wa Mashindano ya kuhifadhi Kuraan nchini Bi Aisha Sururu.
No comments:
Post a Comment