Ofisa Udhamini wa Vodacom Tanzania Ibrahim Kaude(kulia) akimwangalia mrembo anaeshiriki Miss Kinondoni Fatma Pongwe, akichora mnyama aina ya Twiga katika shindano la kusaka vipaji lilofanyika hapo jana katika hoteli ya Giraffe.Vodacom Tanzania ndiyo wadhamini wakuu wa shindano la Miss Tanzania.
Wednesday, July 20, 2011

Home
Unlabelled
Warembo wa Vodacom Miss kinondoni wafanya shindano la vipaji
Warembo wa Vodacom Miss kinondoni wafanya shindano la vipaji
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment