HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 29, 2011

Meya wa Manispaa ya Kinondoni atembelea kituo cha watoto yatima

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda akisikiliza jambo kwa makini toka kwa Diwani wa kata ya Mzimuni, Mohammed Chambuso (kushoto) wakati alipotembelea kituo cha watoto yatima na waishio kwenye Mazingira hatarishi cha Umra jana. Kulia ni Katibu wa Kituo hicho,Yusuf ahmed.
Mtoto Hasab Yusuf Mwenda (kushoto) akikabidhi sehemu ya msaada wa vifaa vya shule na chakula kwa mtoto yatima Abdillah Amri anayelelewa kwenye kituo cha kulea watoto yatima na waishio kwenye mazingira hatarishi cha Umra kilichopo Mzimuni, wakati Meya huyo alipotembelea kituo hicho Dar es Salaam jana. Meya huyo (kushoto) aliambatana na familia yake kwa ajili ya kujumuika na kula pamoja na watoto hao. Wa pili kulia ni Katibu wa kituo hicho, Yusuf Ahmed.
Mtoto Hasab Yusuf Mwenda akigawa keki kwa watoto yatima waishio kwenye kituo cha kulea watoto yatima na waishio kwenye mazingira magumu cha Umra, Mzimuni, Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad