Miss Dar Inter College,Rose Msuya akiwa katika picha ya pamoja na Mshindi wa Pili,Bressiny Ngowi (shoto) na Mshindi wa watatu,Glory Peter.
Afisa Huduma na Bidhaa wa Vodacom Tanzania,Elihuruma Ngowi akikabidhi zawadi kwa Miss Vodacom Dar Inter College 2011,Rose Msuya kutoka Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) usiku huu katika ukumbi wa Sun Cirro,Sinza jijini Dar.
Mkuu wa Itifaki wa Kamati ya Miss Tanzania,Albert Makoye akikabidhi zawadi kwa Mshindi wa Nne,Elizabeth Aloyce.
Washiriki wote jukwaani.






Nchi ya kikombe na Urembo kazi kweli kweli
ReplyDelete