Mgeni rasmi katika mashindano ya Ngoma za Asili,Katibu Tawala wa Wilaya ya Tabora,Bi.Prudencia Kwabila (pili kulia) akikabidhi zawadi ya Tshs 500,000/= kwa mwakilishi wa kikundi (Mwenge Sanaa) kilichoshika nafasi ya kwanza katika fainali za Ngoma za Asili mkoani Tabora, mshindi wa pili ni Magereza Group na ushindi wa tatu ulichukuliwa na Msange JKT, nne ni Milambo Artist Group na tano ni Ugowogowo kutoka Uyui.


Ngoma zikiendelea.



No comments:
Post a Comment