HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 16, 2011

MASHINDANO YA BALIMI NGOMA ZA ASILI YANOGA MKOANI TABORA


Mgeni rasmi katika mashindano ya Ngoma za Asili,Katibu Tawala wa Wilaya ya Tabora,Bi.Prudencia Kwabila (pili kulia) akikabidhi zawadi ya Tshs 500,000/= kwa mwakilishi wa kikundi (Mwenge Sanaa) kilichoshika nafasi ya kwanza katika fainali za Ngoma za Asili mkoani Tabora, mshindi wa pili ni Magereza Group na ushindi wa tatu ulichukuliwa na Msange JKT, nne ni Milambo Artist Group na tano ni Ugowogowo kutoka Uyui.

Ugowogowo Group kutoka Uyui wakiwa katika picha ya pamoja.

Ngoma zikiendelea.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad