HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, June 25, 2011

HIVI NI VITUKO USWAHILINI

 "Halafu wee Dogo nakwambiaga kila siku,mpango wa kunifatilia katika anga zangu sifagilii wala nini"
 "Aaahhh.... unaleta jeuri sioo?"
"Sasa ngoja nikuonyeshe kama mimi ni nani,huwezi kunletea jeuri kinamna hiyooo....." haha ahah ahaha...... haya ndio mambo ya huku kwetu uswazi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad