Mbwana Matumla akikabidhi mkanda wake mara baada ya kumchapa Gabriel Ochueng wa Kenya wakati wa pambano lake la kugombania ubingwa wa UBO Mbwana alishinda kwa pointi wakati wa pambano ilo la ubingwa wake lililipigwa raundi 12 na kufanikiwa kumnyuka mkenya huyo.
Bondia Mbwana Matumla (kulia) akipambana na Gabriel Ochueng wa Kenya wakati wa pambano lake la kugombania ubingwa wa UBO Mbwana alishinda kwa pointi wakati wa pambano ilo la ubingwa wake lililipigwa raundi 12 na kufanikiwa kumnyuka mkenya huyo.
No comments:
Post a Comment