HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 2, 2011

MBWANA MATUMLA AMCHAKAZA MKENYA

Mbwana Matumla akikabidhi mkanda wake mara baada ya kumchapa Gabriel Ochueng wa Kenya wakati wa pambano lake la kugombania ubingwa wa UBO Mbwana alishinda kwa pointi wakati wa pambano ilo la ubingwa wake lililipigwa raundi 12 na kufanikiwa kumnyuka mkenya huyo.
Bondia Mbwana Matumla (kulia) akipambana na Gabriel Ochueng wa Kenya wakati wa pambano lake la kugombania ubingwa wa UBO Mbwana alishinda kwa pointi wakati wa pambano ilo la ubingwa wake lililipigwa raundi 12 na kufanikiwa kumnyuka mkenya huyo.
Damu nzito kuliko maji, bondia mkongwe Rashidi Matumla (kulia) akimpatia maelezo mdogo wake Mbwana Matumla wakati wa pambano lake la kutetea Ubingwa wa UBO lililofanyika Dar es salaam jana Mbwana alishinda kwa point na kutetea vema rtaji lake kushoto ni kocha Habibu Kinyogori.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad