HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 6, 2011

MAANDAMANO YA AMANI KWA CHADEMA JIJINI MBEYA LEO

Baadhi ya Wabunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na wanachama wao wakielekea katika kituo cha kuanzia maandamano yao ya amani kuelekea viwanja vya luanda nzovwe jijini Mbeya mchana wa leo.
Wanachama wa CHADEMA wakiwa kwenye maandamano ya amani jijini Mbeya mchana wa leo
Wanachama wengine wa CHADEMA wakiwa na mabango mbali mbali katika maandamano hayo ya Amani
Baadhi ya Magari yaliyo kuwepo katika msafara huo.

Picha zote Mbeya Yetu Blog

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad