Yaani ukiondoa hiyo vumbi na baadhi ya sehemu kutokuwa na barabara za lami... Mji wa Moshi ndiyo namba 1 kwa usafi nchini Tanzania.. Hongera kwa wakazi na viongozi wao
huu mji msafi sana, usafi huu ni kama wa nchi zilizoendelea, jamani wachaga wameendelea, hembu tupeni sisi wabongo wenzenu mwelekeo, ahsante kaka michuzi kwa hizi picha, ni mfano mzuri wa kufuatwa!!!!
Yaani ukiondoa hiyo vumbi na baadhi ya sehemu kutokuwa na barabara za lami... Mji wa Moshi ndiyo namba 1 kwa usafi nchini Tanzania.. Hongera kwa wakazi na viongozi wao
ReplyDeleteKk Mdogo trip ya Loliondo nini? LOL
ReplyDeletehuu mji msafi sana, usafi huu ni kama wa nchi zilizoendelea, jamani wachaga wameendelea, hembu tupeni sisi wabongo wenzenu mwelekeo, ahsante kaka michuzi kwa hizi picha, ni mfano mzuri wa kufuatwa!!!!
ReplyDeletefikeni na kule mkuu na tarakea rombo mjionee wenyewe jamani
ReplyDelete