Ni miaka miwili toka mama yetu mpendwa Mary Donata Watondoha kututoka,daima watoto,wajukuu ndugu jamaa na marafiki tunakukumbuka.Ulipendwa sana hapa duniana ila mwenyezi wa yote alikupenda zaidi na tunakuombea upumzike kwa Amani.
No comments:
Post a Comment