HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, April 19, 2011

YALE YALEEE......

mpaka watu wavunjike miguu ndio mjue kwamba haya mashimo yanatakiwa kuzibwa.kamera ya Mtaa kwa Mtaa ilimnasa jamaa huyu aliekuwa anataka kuvuka baraabara huku akiongea na simu akiingia kwenye hili shimo lililopo mtaa kwa Makunganya leo.

1 comment:

Post Bottom Ad