HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, April 30, 2011

MANDHARI YA MJI WA BUKOBA KAMA ILIVYONASWA NA KAMERA YA MTAA KWA MTAA

Hivi ndivyo unavyoonekana mji wa Bukoba mkoani Kagera ambapo leo ndiko Libeneke la Mtaa Kwa Mtaa lipo likiendeleza Libeneke kama kawa.Wadau wa Bukoba Mpoo hapooo?????

2 comments:

  1. hAKA KA MJI KADOGO LAKINI KANAONEKANA KASAFI SANA.

    MIE HUPENDA KUTEMBELEA BK WAKAZI WAKE WAKARIMU SANA PAMOJA NA KUWA LUGHAKIDOGO HUWAPIGA CHENGA YA MWILI LAKINI UJUMBA HUELEWEKA

    ReplyDelete

Post Bottom Ad