HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, April 2, 2011

kamera ya mtaa kwa mtaa ndani ya mabibo

Hii ni Barabara kubwa iendayo Mabibo ukitokea Big Brother Manzese.
Fusso likiwa limesheni Mzigo wa ndizi kutoka mikoani lilisubiria zamu yake ya kwenda kushusha ndani ya soko la Mahakama ya Ndizi Mabibo.
Mabasi ya Mbaruku yalilokuwa yakifanya safari zake kati ya Dar - Lushoto mkoani Tanga yakiwa juu ya mawe pembezoni mwa barabara ya Mabibo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad