HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, March 18, 2011

yale yalee...

hapo kuna mabishano makubwa sana,kwani dereva wa hiyo daladala hapo kushoto alikuwa akirudi nyuma bila kuangalia na kujikuta akiliingia hili lori lililokuwa limesimama kutokana na kupatwa na hitilafu kidogo.hapa ni maeneo ya Temeke kwa Sokota.
hivi ndivyo mambo yalivyokuwa.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad