Katika Kilimanjaro Music Awards 2011 Mapacha Watatu Tumefanikiwa Kuingiza Wimbo Mmoja pia Pacha Mmoja Khalid Chokoraa nae Kaingia katika kinyang'anyiro cha Rapa bora wa bendi.
Tunaomba Kura Zenu Tafadhali.
Kupigia Kura Wimbo Wa Shika Ushikapo wa Mapacha Tuma sms yenye maneno G173 kwenda Namba 15747 . Na Kumpigia Kura Chokoraa Andika M110 kwenda 15747
Ebu vaa nguo kwani kucheza kifua wazi ndio ustaarabu gani?
ReplyDelete