Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Netiboli Tanzania (CHANETA), Shy-Rose Bhanji akikabidhi jumla ya sh. milioni 1.1 kwa Mwenyekiti wa CHANETA Taifa, Anna Bayi kwa ajili ya kuwapatia mshindi wa kwanza hadi wanne, wa Ligi ya daraja la pili ya netiboli, iliyomalizika mwezi uliopita mjini Morogoro. Timu zilizopata ni mshindi wa kwanza Mbeya sh. (500,000), Mshindi wa pili Polisi Arusha (Sh. 300,000),Mshindi wa tatu, Polisi Pwani (sh. 200,000) na JKT Ruvu iliyopata sh. 100,000 kwa kushika nafasi ya nne.
Thursday, March 3, 2011

Home
Unlabelled
Shy-Rose Bhanji aimwagia CHANETA mkwanja wa Zawadi
Shy-Rose Bhanji aimwagia CHANETA mkwanja wa Zawadi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment