HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 28, 2011

huu ujunga utamalizika lini jamani??

unaona wenzako wamekaa kwenye foleni halafu na wewe unatoka huko ulikotoka na kuja kuwachomekea kwa mbele.inamaana waliokaa kwenye foleni hawana haraka????? wewe mwenye gari hii tafadhali acha hii mambo maana sio mpango wala nini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad