HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, February 20, 2011

Send Off ya Dada Hanifa Yahafa sana Usiku huu @ Police Officers Mess Police Oc


Bi. Harusi mtarajiwa,Hanifa Masaninga akiwa katulia tuuuliiiiiiii kufuatilia taratibu za MC wake ilikuhakikisha mambo yanakuwa poa. hushuli hii imefanyika usiku huu katika ukumbu wa Police Officers' Mess ukiopo masaki.
Dah.... Hanifa Akikata kekizzzz.
msosi time ndio kama hivi tena.
Mie kati nikiwa na Bi.Harusi mtarajiwa pamoja na Matroni wake.
Mdau Richie Richie Mtambarike pia alikuwepo kimsindikiza,ok poa hpe haoooo.
Senene kiliwa kwa chakula.

7 comments:

  1. Duh.rangi si mchezo.shughuli kwa picha tu inadhihirisha imefana

    ReplyDelete
  2. Hongera da Hanifa, umependeza! Nakutakia kila la kheri mbwiga.

    ReplyDelete
  3. Duh! liugonjwa la dada shamim (keki) si utani!

    ReplyDelete
  4. Duh! liugonjwa la dada shamim (keki) si utani!

    ReplyDelete
  5. dada umependeza sana mpenzi rangi safi saaaaaaaaaaaaaaaaaaana says fina

    ReplyDelete
  6. umependeza sana dada angu Hanifa, nakutakia kila la kheri katika maisha yenu mapya ya ndoa Mungu awatangule. sarafina

    ReplyDelete

Post Bottom Ad