HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, February 5, 2011

mchanga unavyosakwa jijini mbeya

leo jiji la Mbeya lilipata neema kubwa sana ya kunyesha kwa mvua kubwa kidogo ambapo mara tu baada ya mvua hiyo,vijana wengi waliopo katika maeneo mbali mbali ya jiji hili,waliingia katika sehemu za maji yanayotembea na kuanza kutafuta mchanga kama walivyonaswa na kamera yetu mchana wa leo.
Watoto wakikusanya mchanga huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad