HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, February 2, 2011

bajaj kama nanihii vile

na zinakula nyomi kama kama na kwa bei poa kabisa,yaani nikimaanisha kituo hadi kituo nauli yake ni sh. 300 tu.haya ni maendeleo makubwa sana kwa kweli,maana zinasaidia sana kuwafikisha wakazi wa jiji hili kila mahala waendako.

1 comment:

  1. Sasa ninaweza kuelewa kwa nini Dr JK aliwaahidi wanawake wajawazito kuwapelekea bajajs!!!!!!!!!!!!!!
    Mungu akuongezee neema Dr.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad