HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, January 29, 2011

mpango mzima wa versity nite at new club maisha

Msanii Redsun kutoka nchini Kenya akikamua katika usiku wa Versity Nite ndani ya New Club Maisha.
Beka a.k.a Masuspender akifanya vitu vyake.
Vijana wa kazi toka T.H.T,Barnaba,Beka na Amini wakikamua vilivyo katika usiku wa Versity Nite ndani ya New Club Maisha,jijini Dar.
Belle 9 nae hakua nyuma katika makamuzi hayo ya ukweli kabisa ya Versity Nite.
Ukumbi ulifurika kwa uwingi wa wadau waliohudhuria usiku huo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad