HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, January 20, 2011

mdau mweji atunukiwa tuzo ya heshima

Mwandishi wa Habari Mkongwe wa kampuni ya the Guardian, Tryphone Blassius Mweji (katikati) akitunukiwa tuzo ya kuwa Mwanachama wa Heshima ya Kutukuka wa Klabu za Lions ( Lions club International honorary
member) kutoka kwa Gavana Wilson Tumwine wa Uganda, kwenye hafla
iliyofanyika jijini Dar es Salaam leo. Anayekabidhi tuzo hiyo kwa
niaba ya Gavana ni Mwwenyekiti wa Baraza la klabu za Lions za Uganda
na Tanzania, Safdar Jaffer

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad