
kituo hiki ni kizuri sana kwa kweli na kinavutia hasa kwa jinsi kilivyotengenezwa na kupangiliwa namna ya kupaki mabasi hayo.

si mnaona jamani kinavyopendezaa........

kimbembe kinaanzia hapa sasa,hata sijui ni kwanini wameamua kuanzisha dampo mahala hapa.

hebu chekini takata zilivyojazana hapa,hivi ndio muendelezo wa matumizi ya kituo hiki au inakuwaje??maana mie nimeshindwa kuelewa kabisa.hebu wahusika fanyieni kazi swala hili maana hata haipendezi kwakweli.
No comments:
Post a Comment