hata sisi pia tupo kwao tena hafadhali wao wana shughuli zinaoneka kuliko sisi huku china cha msingi nikujipanga na kukabiliana nao tu maana nasi tupo kila kona ya dunia
Teh teh nimeipenda hiyo wanakaba mpaka Penati na Mdau hapo wa Kwanza umesema kweli angalau wao wanaonekana wanafanya kitu gani ni mfano wa binadamu kuhangaikak uliko kulala mika binadamu mwenzako anaibia kitu sawa na UK wazungu kulalamika watu wanje wanachukua Kazi ambazo kumbe wao wanaona noma kuzifanya sawa na sie Tanzania.
Napenda sana hii maana ni changamoto...mbongo ukimwachia mzigo anakula kona...uaminifu sifuri...longolongo nyingi...bora hao matendo yao yanaongea kwa sauti kubwaaaa
hata sisi pia tupo kwao tena hafadhali wao wana shughuli zinaoneka kuliko sisi huku china cha msingi nikujipanga na kukabiliana nao tu maana nasi tupo kila kona ya dunia
ReplyDeleteTeh teh nimeipenda hiyo wanakaba mpaka Penati na Mdau hapo wa Kwanza umesema kweli angalau wao wanaonekana wanafanya kitu gani ni mfano wa binadamu kuhangaikak uliko kulala mika binadamu mwenzako anaibia kitu sawa na UK wazungu kulalamika watu wanje wanachukua Kazi ambazo kumbe wao wanaona noma kuzifanya sawa na sie Tanzania.
ReplyDeleteNapenda sana hii maana ni changamoto...mbongo ukimwachia mzigo anakula kona...uaminifu sifuri...longolongo nyingi...bora hao matendo yao yanaongea kwa sauti kubwaaaa
ReplyDelete