HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, January 5, 2011

Bustani Ya Jamhuri,Zanzibar

Geti kuu la kuingilia bustanini hapo.
Sehemu ya kucheza watoto.
Sehemu ya kupumzika na upande mwingine watoto wakiendelea kucheza.
Ndege ya kushezea watoto.
sehemu ya mapumziko.
upande huu wanafunzi wengi wa vyuo hupenda kukaa na kujisomea.yaani inapendeza sana kwa kweli.sijui ni kwanini ile bustani ya mnazi mmoja,jijini Dar inashindikana kufanyika kitu kama hiki??maana kila ukifika pale ni makufuli tu yananing'inia magetini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad