HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, December 12, 2010

watoto na kupenda kuchezea maji

kamera ya Mtaa Kwa Mtaa iliwanasa watoto hawa wakikatiza katikati ya maji ya mvua yaliyotuama katika viwanja vya Biafra,Kinondoni na ili hali kuna sehemu iliyokuwa kavu kabisa kwa wao kupita.sasa sijui ndio mambo ya utoto au ni namna gani??

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad