HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, November 3, 2010

Happy Birthday Da' Mariam

Mariam akiwa na rafikiye kipenzi,Najjath katika hafla fupi ya kusherekea sikukuu ya kuzaliwa kwa Mariam.
Mariam akikata kekizz.
Mariam akimlisha kipande cha keki,ndugu nanihii (kwa minuso huyu jamaa,hajambo) katika hafla hiyo.
ze kekizzz
Leo ni siku ya kipee kabisa kwa Mdau mkubwa wa Blog hii,Da' Mariam ambapo anasherehekea siku yake ya kuzaliwa.hivyo kwa niamba ya wadau wote wa Blog hii,sina budi kumtakia kina la heri Mdau mwenzetu huyu na Mungu amjaalie maisha marefu na yenye mafanikio makubwa.

Happy Birthday Mariam.

3 comments:

  1. Thank You Kaka Othman...

    By, Mariam..

    ReplyDelete
  2. Nimechelewa ila hongera za basidei yako hongera sana mwenyezimungu atakuepusha na mabaya yote na atakufungulia mazuri na njia nzuri kila kizuri unachoomba. MZ.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad