HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, September 25, 2010

shimozz

hivi ni kwanini hawa jamaa wanaochimba haya mashimozz,hawayafukii kwa muda unaotakiwa pindi wamalizapo kazi zao??maana hili shimozz leo hii itakuwa ni siku na nne liko hivi.sasa sijui wanafikiriaga vitu gani mpaka inakuwa hivi??
shimo hili lipo pale upanga kwenye kona ya kuelekea diamond jubilee holi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad