HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 16, 2010

Mambo ya Zenjy

vespa zimepangwa na kupangika.
kidampa kikiwa kimekula vichwa katika maeneo ya Malindi mchana wa leo,sijui walikuwa wakielekea wapii??
abiria wakiwa ndani ya chai maharage kuelekea maeneo mbali mbali ya Zenjy.
stendi ya daladala ya Darajani ikiwa bize kwa shughuli za hapa na pale.
wananchi za Zenjy wakiwa markiti kununua bidhaa tofauti tofauti.
soko kuu la Zenjy la Markiti lionekanavyo leo.

1 comment:

  1. Hili ni soko kuu la darajani mzee au marikiti kuu darajani na sio soko kuu la markiti.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad