
Msanii wa muziki wa Hip Hop bongo Mwana FA akikamua jukwaani usiku wa kuamkia leo kwenye tamasha kubwa la Serengeti Fiesta Jipanguse 2010 ndani ya Matongee Club,mjini Arusha

Mzee wa Mwanza Mwanza Fid Q akishushu vina mwanzo kati na mwisho mbele ya wakati wa A-Town usiku wa kuamkia leo ndani ya tamasha la Fiesta jipanguse 2010.

Wasanii kutoka Kiumeni Wanaume TMK wakilishambulia jukwaa vilivyo

Mtoto wa Mama Said kutoka Wanaume TMK,Chege akiwaimbisha washabiki wake mpango mzima wa mambo bado ndani ya Fiesta Jipanguse 2010,tamasha hilo ambalo mdhamini mkuu ni kampuni ya Bia ya Serengeti breweries Ltd

Msanii kutoka THT atambulikae kwa jina la Mataluma akiwachezesha mchiriku wakazi wa A-Town waliojitokeza kwa wingi ndani ya Fiesta jipanguse 2010

Mwasiti akiwaimbisha washabiki wake wimbo wa kisa pombe ambao ulionekana kuwavutia vilivyo.

Msanii anaejivunia kutoka Morogoro Belle 9 akiimba jukwaani

Mr Misifa a.k.a Brazamen Dully Sykes akionesha mikogo yake mbele ya wakazi wa A-town ndani ya tamasha kubwa la Fiesta Jipanguse 2010.

Kidumu akionyesha umahiri wake wa kupiga vyombo.

Mwamba wa Kaskazini Joe Makini ukitesa nyumbani .
KWA PICHA ZAIDI ZAMA HAPA
No comments:
Post a Comment