HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, June 24, 2010

redds miss ilala kutembelea vyombo vya habari leo

Warembo 18 wanaoshiriki mashindano ya kumtafuta mlimbwende wa Kanda ya Ilala, watatembelea vyumba vya habari vya magazeti mbalimbali kujifunza jinsi magazeti yanavyotengenezwa na kukutana na waandishi wa Habari na wahariri ambao wamekuwa wakiwasikia au kuwasoma bila kuwajua.


Sisi tunajitahidi kuwafundisha warembo wetu kuwaona waandishi wa habari kama marafiki na watu wa kushirikiana nao na wala si maadui kwa kudhani kuwa watawaandika vibaya. saa nne watakuwa magazeti ya serikali Dailynews na habari leo, saa tano, jambo leo halafu watakwenda Business times na kumalizia Mwananchi Communications. Kesho wataendelea na ziara hiyo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad