kwa muonekano kweli linapendeza. lakini kwa bei za mafuta hii si habari njema. zidisha na uchekechuaji wa hayo mafuta, manake ununuzi wa vipuri uko juu. na kumbuka haya ni mabasi ya mikopo. mwisho wa siku mjasiriamali mzalendo anayetaka kutoka kimaisha, anashindwa kuulipa mkopo, nyumba yake ya rehani inauzwa, na anakuwa masikini kuliko alivyokuwa kabla ya kuanzisha mradi wa usafiri jijini! kwa namna fulani kubwa, umasikini wetu tunauzidisha wenyewe, hususan kwa kuwalea wanaochangia kuongeza gharama za maisha kwa wengine wetu kama vile wachakachuaji!
kwa muonekano kweli linapendeza. lakini kwa bei za mafuta hii si habari njema. zidisha na uchekechuaji wa hayo mafuta, manake ununuzi wa vipuri uko juu. na kumbuka haya ni mabasi ya mikopo. mwisho wa siku mjasiriamali mzalendo anayetaka kutoka kimaisha, anashindwa kuulipa mkopo, nyumba yake ya rehani inauzwa, na anakuwa masikini kuliko alivyokuwa kabla ya kuanzisha mradi wa usafiri jijini! kwa namna fulani kubwa, umasikini wetu tunauzidisha wenyewe, hususan kwa kuwalea wanaochangia kuongeza gharama za maisha kwa wengine wetu kama vile wachakachuaji!
ReplyDeleteLiliharibika sasa likaanzia route njiani, yaani hapo lilipo likifika kituo kinachofuata linajaa lote
ReplyDelete