HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, May 31, 2010

miaka 5 ya coconut fm zanzibar

Timu ya redio Coconut Fm 88.2 Fm ZanzibarMmoja wa watangazaji wa Coconut Fm 88.2 Zanzibar, akimlisha keki mmoja wa Wakurugenzi wa Prime Time Promotions Ltd, ambao ni wamiliki wa kituo hicho kwa niaba ya Uongozi wa Kampuni pamoja na Clouds Media Group.
Mmoja wa Wakurugenzi wa Prime Time Promotions, ambao ndiyo wamiliki wa Redio Coconut Fm 88.2 Zanzibar Godfrey Kussaga akimlisha keki mmoja ya watangazaji nguli wa Redio Coconut Fm 88.2 Husna B.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad