Hapa ni Lindi Street Kariakoo, halafu Ankal mdogo uwe basi unatoa majibu kwa maswali kama haya unayouliza ili angalau tujue kama tumepatia au tumekosea au vip Ankal??
hapo ni maeneo ya benjamin willium mkapa high school, teh teh nimeondoka bongo miaka mitano ila bado napakumbuka,kushoto hapo ni ben mkapa high school, zamani city high school
Hapa ni Lindi Street Kariakoo, halafu Ankal mdogo uwe basi unatoa majibu kwa maswali kama haya unayouliza ili angalau tujue kama tumepatia au tumekosea au vip Ankal??
ReplyDeleteHapo Fire bana nipe zawadi yangu Eboooh
ReplyDeletehapo ni maeneo ya benjamin willium mkapa high school, teh teh nimeondoka bongo miaka mitano ila bado napakumbuka,kushoto hapo ni ben mkapa high school, zamani city high school
ReplyDeletemtaa wa lindi nyuma ya shule ya uhuru wasichana, picha imepigwa kutoka alharamain na hapo mbele ni shule ya benjamin mkapa
ReplyDeletehapo ni hapo ulipopigia picha
ReplyDelete