
toka shoto ni mdau wa First Assurance(jina limenitoka),Mie wa Mtaa Kwa Mtaa Blog na mwisho ni Anko Taji Liundi a.k.a anko T.tulipokutana mitaa ya kati usiku wa kuamkia jana.

Mdau Paul Kirigini na Mkewe Farida

Mie na Nondo yangu nikiwa na Dj Heriel Kacheje pamoja na mtasha alieomba kupata taswirazz nasi katika mnuso flani hivi mitaa ya kati.
No comments:
Post a Comment