HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, March 29, 2010

Wadau Wa FaceBook Katika Birtday Part Ya Foibe

Mdau Pervez akiwa pamoja na Foibe wakiwa katika harakati za kuwasha mshumaa wa birthday
Flowers ,shoto ni Rihama na kulia ni Frolah wakiwakilisha wakiwakilisha na mzee wa Mtaa Kwa Mtaa katika birthday part ya Foibe iliofanyika usiku huu pande za mikocheni kwa Warioba.
washkaji,toka shoto ni mie wa Mtaani,Deo Hugo,Donsima Costa,Michael Carter pamoja na Gillsant Mlaseko wote kwa pamoja tukiwakisha katika birthday part ya dada Foibe (hayuko pichani) pande za mikocheni.Mie,Frolah,Foibe,Rihama,Ahmad (Jiachie Blog) pamoja na mdau tukiwa katika picha ya ukumbusho wa hepi besdey ya Foibe pande za mikochoni usiku huu.

2 comments:

  1. safi sana, huu ndo umoja na ushirikiano unaotakiwa kwa vijana wa age hii. pig up and happy birthday to dada Foibe

    ReplyDelete
  2. Dah inapendeza kuona wana FB tunasapotiana sehemu mbalimbali....Hivi ndivyo inavyotakiwa..Happy Bday Foibe!
    Sarah Peter

    ReplyDelete

Post Bottom Ad