KUNA TATIZO LIMEJITOKEZA NASHINDWA
INGIA KWENYE EMAIL YANGU YA YAHOO YA
SHAMYOMY@YAHOO.COM
NAHISI NIMEHACKIWA SABABU INAONEKANA IKO ONLINE NA MTU AKISEMESHWA ANAJIBU.....ILA SIO MIMI
ANGALIZO :: NAOMBA YEYOTE ASIJE AKARUBUNIWA NA YEYOTE KUPITIA EMAIL HIYO YA
NAHISI NIMEHACKIWA SABABU INAONEKANA IKO ONLINE NA MTU AKISEMESHWA ANAJIBU.....ILA SIO MIMI
ANGALIZO :: NAOMBA YEYOTE ASIJE AKARUBUNIWA NA YEYOTE KUPITIA EMAIL HIYO YA
SHAMYOMY @YAHOO.COM
kwa sasa tumieni
kwa sasa tumieni
Asanteni
Shamim Mwasha 'Zeze'
Pole Da Zeze
ReplyDeleteMimi nimekuwa mmoja wa wanaokuona saana online lakini ninapokusalimu sibahatiki kujibiwa na huyo "ZEZE MPYA"
Pole sana Dada na asante kwa taarifa.
Asante Kaka kwa kutusambazia ujumbe huu pia
Blessings