Habari zilizotufikia hivi punde toka pande za Zanzibar,zinaeleza kwamba Meli ya Mv Serengeti ifanyayo safari zake ndani ya Bahari ya Hindi,inawaka moto sasa hivi katika bandari ya Zanzibar ilipokuwa ikitaka kuondoka kuelekea kisiwani Pemba.
Aidha Kikosi cha zima moto Zanzibar kimewasili eneo la tukio na kuweza kufanya juhudi za kuuzima moto huo.tutaendelea kujishana kadri taarifa zitakavyokuwa zinatufikia.
Aidha Kikosi cha zima moto Zanzibar kimewasili eneo la tukio na kuweza kufanya juhudi za kuuzima moto huo.tutaendelea kujishana kadri taarifa zitakavyokuwa zinatufikia.
No comments:
Post a Comment