HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, March 23, 2010

Leo Pia Kimedongoka Cha Kiaina

Sijui ndio masika ishaingia??maana kila siku lazima kidondoke kimvua cha kinma namna kama hivi inavyoonekana hapa pichani.hii ni mchana wa leo.

1 comment:

  1. Nahisi nchi yangu ili-dizainiwa iwe ya summer peke yake. Maana ka-mvua uchwara kanalivundisha jiji. Na huko Mwanza nako ndio usiseme. Ikinyesha tu wanapata chance ya kuachia 'disposable" toilets zao.
    Yaani ni nchi ya majira ya kiangazi tuuuuuu.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad